// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SINGIDA BIG STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA MAPINDUZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SINGIDA BIG STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA MAPINDUZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, January 03, 2023

    SINGIDA BIG STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA MAPINDUZI


    TIMU ya Singida Big Stars imeanza vyema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya KMKM usiku wa jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Mabao ya Singida Big Stars katika mchezo huo wa Kundi B yamefungwa na Mbrazil Bruno Gomes na mzawa, Yusuph was Kagoma.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA BIG STARS YAANZA VYEMA KOMBE LA MAPINDUZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top