MABINGWA wa Tanzania, Simba SC watamenyana na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Septemba 19 kwenye tamasha la Simba Day Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Huo utakuwa mchezo wa tatu wa kirafiki baada ya awali kutoka sare mara mbili katika kambi yake ya Jijini Rabat nchini Morocco 2-2 na FAR Rabat na 1-1 na Khourigba.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment