MABINGWA wa Tanzania, Simba SC watamenyana na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Septemba 19 kwenye tamasha la Simba Day Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Huo utakuwa mchezo wa tatu wa kirafiki baada ya awali kutoka sare mara mbili katika kambi yake ya Jijini Rabat nchini Morocco 2-2 na FAR Rabat na 1-1 na Khourigba.
0 comments:
Post a Comment