MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Mtibwa Sugar wameendeleza sera yao ya kusajili wachezaji vijana wadogo kuelekea msimu ujao.
Mtibwa, mabingwa mara mbili mfululizo 1999 na 2000 wamemsajili winga wa kushoto Isaac Kachwele kutoka akademi ya Cambianso ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Mtibwa, mabingwa mara mbili mfululizo 1999 na 2000 wamemsajili winga wa kushoto Isaac Kachwele kutoka akademi ya Cambianso ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment