Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 32 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London leo. Morata pia alifunga bao la pili dakika ya 65 kabla ya Mspaniola mwenzake, Pedro kufunga la tatu dakika ya 70, wakati bao la Palace limefungwa na Andros Townsend dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou looks 'BEATEN' at Tottenham and they have 'fallen off a
cliff', claims Jamie Redknapp - as Spurs crumble against Chelsea and their
manager loses his temper
-
The Spurs boss cut a frustrated figure during and after their 2-0 defeat by
Chelsea on Thursday night. A touchline outburst at his players and snappy
talk ...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment