Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 32 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London leo. Morata pia alifunga bao la pili dakika ya 65 kabla ya Mspaniola mwenzake, Pedro kufunga la tatu dakika ya 70, wakati bao la Palace limefungwa na Andros Townsend dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs PSG - Champions League LIVE: Latest score, team news and
updates as Ousmane Dembele twists the knife for the visitors minutes after
Reds' penalty shout is overturned - and comeback hopes disintegrate at
Anfield
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Liverpool host PSG at Anfield in the second leg of their
Champions Leagu...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment