Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 32 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London leo. Morata pia alifunga bao la pili dakika ya 65 kabla ya Mspaniola mwenzake, Pedro kufunga la tatu dakika ya 70, wakati bao la Palace limefungwa na Andros Townsend dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How Scotland have a 0.1% chance of reaching the knockout stages,
who England are set to face in the last 32 and who is most likely to win
the World Cup
-
Scotland need a miracle to remain one of the World Cup's top eight
third-placed teams and stay in the competition. Steve Clarke's side are
being hauled tow...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment