Mrusi Khabib Nurmagomedov (kulia) akitembea kibabe baada ya kummaliza mpinzani wake, Conor McGregor katika raundi ya nne alfajiri ya leo kwenye pambano la ubingwa wa UFC 229 uzito wa Light. Nurmagomedov aliruka ulingo kwenda kupigana na rafiki wa McGregor, Dillon Danis. Na ulingoni mmoja wa wapambe wa Khabib akampiga kichwani McGregor na kuzua tafrani kubwa ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shocking moment jockey forces tired horse over final fence in bizarre
ending to chaotic race as he is BANNED over 'extremely unpleasant' incident
-
Jockey Charlie Marshall has been handed a 12-day suspension after forcing
his tired horse Go On Chez to clamber over the final hurdle in a chaotic
finish a...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment