Winga Mbrazil, Willian (kushoto) akimpongeza Alvaro Morata baada ya kuifungia Chelsea bao pekee dakika ya 70 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya MOL Vidi kwenye mchezo wa Kundi L michuano ya Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Stamford Bridge, London. Willian ndiye aliyetoa pasi ya bao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump sends astonishing warning to Iran soccer team ahead of World
Cup
-
Iran has qualified for this summer's soccer showpiece, which is being
co-hosted by the United States, Canada and Mexico.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment