Matteo Guendouzi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 79 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Qarabag usiku wa Alhamisi Uwanja wa Taifa wa Baku. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Sokratis Papastathopoulos dakika ya nne na Emile Smith Rowe dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment