Matteo Guendouzi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya 79 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Qarabag usiku wa Alhamisi Uwanja wa Taifa wa Baku. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Sokratis Papastathopoulos dakika ya nne na Emile Smith Rowe dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment