Wachezaji wa Simba SC, John Bocco (kulia) na Shomary Kapombe (kushoto) wakiwaacha chini wachezaji wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Nahodha wa Simba, John Bocco (kushoto) akiwa ameruka juu na wachezaji wa Mbeya City
Mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi akigombea mpira na beki wa Mbeya City, Haruna Shamte
Beki wa Simba, Shomary Kapombe (kushoto) akimtoka Babu Ally Seif wa Mbeya City
Winga wa Simba, Shiza Kichuya (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Mbeya City, Mohammed Samatta (katikati) na Haruna Shamte (kulia)
Beki Mghana wa Simba, Asante Kwasi (kulia) akitafuta mbinu za kumpita Majaliwa Shaaban wa Mbeya City
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimtoka mshambuliaji Frank Ikobela wa Mbeya City
Anayepigwa kichwa cha mkizi kushoto ni mshambuliaji John Bocco huku kipa wa Mbeya City, Owen Chaima akiokoa kulia na katikati ni Asante Kwasi
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Mbeya City kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
EXCLUSIVE: Blues Brothers! Mosese Tuipulotu could line up alongside Sione
for Scotland as Edinburgh swoop for 22-year-old centre
-
Scotland could feature two brothers as their centre pairing from next
season as Sione Tuipulotu's younger sibling Mosese closes in on a move to
Edinburgh R...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment