Nyota wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao matatu dakika za 25, 53 na 85 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Do Dragao mjini Porto, Ureno. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah dakika ya 29 na Roberto Firmino dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guggenheim Lifts Target (TGT) PT, Sees Turnaround Gaining Traction
-
Target Corporation (NYSE:TGT) is included among the 10 Best Dividend
Aristocrat Stocks to Buy in 2026. On April 20, John Heinbockel at
Guggenheim Partners ...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment