Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia na mchezaji mwenzake, Leroy Sane baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Arsenal kwenye fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup leo Uwanja wa Wembley. Bao la pili limefungwa na beki Vincent Kompany dakika ya 58 na la tatu kiungo, David Silva dakika 65, Pep Guardiola akitwaa taji la kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment