Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia na mchezaji mwenzake, Leroy Sane baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Arsenal kwenye fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup leo Uwanja wa Wembley. Bao la pili limefungwa na beki Vincent Kompany dakika ya 58 na la tatu kiungo, David Silva dakika 65, Pep Guardiola akitwaa taji la kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mauricio Pochettino is 'tripping himself over not to have a go at his
players', says Martin Keown as he urges Chelsea manager to have 'harsh
words' after 5-0 drubbing at Arsenal and blasts club's recruitment
-
Mikel Arteta 's side put the Blues to the sword at the Emirates with a
devastating second-half display that saw them move three points clear at
the top of ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment