Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akimtoka beki wa Maji Maji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-1
Kiungo wa Yanga, Emmanuel Martin akiondoka na mpira taratibu dhidi ya mchezaji wa Maji Maji
Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akimpita mchezaji wa Maji Maji, Jaffar Mohammed
Kiungo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akiuwahi mpira dhidi ya mchezaji wa Maji Maji
Kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib akipambana kuwapita wachezaji wa Maji Maji jana
Beki wa Yanga, Gardiel Michael akimpita kwa chenga ya kuuzungusha mpira upande wa pili, beki wa Maji Maji Paul Maona
Kipa wa Maji Maji, Saleh Malande akiruka kuokoa dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Pius Buswita
Kiungo wa Yanga, Maka Edward akiwa juu kupiga mpira kichwa
Kikosi cha Maji Maji kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Jean-Philippe Mateta goes to war with Crystal Palace: Wantaway striker
takes his club to FIFA over claims the final months of his contract should
be void
-
Mateta's case was heard by an independent tribunal under the Premier
League's rules and he subsequently went to Fifa, but they ruled that
overruling the co...
18 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment