Wachezaji wa Simba, beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) na kiungo Said Ndemla (kushoto) wakiwa kwenye ufukwe wa bahari mjiji Djibouti City baada ya mazoezi leo asubuhi kabla ya safari ya kurejea Dar es Salaam kufuatia jana kuwafunga wenyeji, Gendarmerie Tnare 1-0 katika mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-0 baada ya ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani
BVB-Handballerinnen reisen zum Topspiel nach Thüringen
-
Am Ostersonntag absolvieren Borussia Dortmunds Handballerinnen ihr letztes
Bundesliga-Spiel vor der nächsten Länderspielpause. Beim Thüringer HC kommt
es z...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment