Kocha wa AC Milan, Gennaro Gattuso akitembea kibabe baada ya timu ya kushinda 2-0 ugenini jana dhidi ya wenyeji, Roma Uwanja wa Olimpico mabao ya Patrick Cutrone dakika ya 48 na Davide Calabria dakika ya 74 katika mchezo wa Serie A, Italia. Milan watakutana na Arsenal ya kocha Mfaransa, Arsene Wenger katika 16 Bora ya UEFA Europa League wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024 Rumors: Jaguars Eye Trade Up for Pass-Catcher Amid Brock
Bowers Buzz
-
The Jacksonville Jaguars are reportedly looking to bolster their passing
attack in Thursday's NFL draft. Per The Athletic's Dianna Russini, the
Jaguars have…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment