Kocha wa AC Milan, Gennaro Gattuso akitembea kibabe baada ya timu ya kushinda 2-0 ugenini jana dhidi ya wenyeji, Roma Uwanja wa Olimpico mabao ya Patrick Cutrone dakika ya 48 na Davide Calabria dakika ya 74 katika mchezo wa Serie A, Italia. Milan watakutana na Arsenal ya kocha Mfaransa, Arsene Wenger katika 16 Bora ya UEFA Europa League wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ICC chief prosecutor ousted over sexual misconduct allegations
-
Chief prosecutor Karim Khan was ousted from the International Criminal
Court after a months-long investigation into accusations of sexual
misconduct.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment