Ngumi ya George Groves ikiwa imewasili kwenye uso wa mpinzani wake, Chris Eubank Jr wakati wa pambano la fainali ya World Boxing Super Series usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Manchester Arena. Groves alishinda kwa uamuzi wa majaji wote, pointi 117-112, 116-112 na 115-113 na kutetea ubingwa wake wa dunia wa WBA baada ya raundi 12 kali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benfica's Prestianni banned for homophobic conduct in Real Madrid tie
-
Gianluca Prestianni is given a six-game ban by Uefa for homophobic conduct
during Benfica's Champions League knockout play-off matched with Real
Madrid in ...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment