Ngumi ya George Groves ikiwa imewasili kwenye uso wa mpinzani wake, Chris Eubank Jr wakati wa pambano la fainali ya World Boxing Super Series usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Manchester Arena. Groves alishinda kwa uamuzi wa majaji wote, pointi 117-112, 116-112 na 115-113 na kutetea ubingwa wake wa dunia wa WBA baada ya raundi 12 kali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment