Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za nne na 28 kwa penalti timu yake ikichapwa 3-2 na Lokomotiv Moscow katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Mabao yote ya Lokomotiv Moscow yalifungwa na Manuel Fernandes dakika za 45 kwa penalti, 69 na 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 week ago



.png)
0 comments:
Post a Comment