Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 83 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 3-1 dhidi ya Paris Saint-Germain katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa wa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao lingine la Real limefungwa na Marcelo dakika ya 86, baada ya PSG kutangulia kwa bao la mapema laAdrien Rabiot dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hire, fire, final - Chelsea's player power may be ugly, but it wins
-
Chelsea are in another FA Cup final - but only after their players showed
up in a way they were no longer doing for Liam Rosenior, writes Phil
McNulty.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment