Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 83 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 3-1 dhidi ya Paris Saint-Germain katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa wa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao lingine la Real limefungwa na Marcelo dakika ya 86, baada ya PSG kutangulia kwa bao la mapema laAdrien Rabiot dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Belgium vs Egypt - World Cup LIVE: Mohamed Salah's side draw first blood as
seven-time AFCON champions eye first ever tournament win
-
Follow Daily Mail Sport's live coverage as Belgium get their World Cup
campaign underway in Group G as they take on Egypt at the Seattle Stadium.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment