Kikosi cha Arsenal kilichoanza jana katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Ostersunds kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora michuano ya Europa League Uwanja wa Jamtkraft Arena mjini Ostersund. Mabao ya Arsenal itakayokuwa na kazi nyepesi kwenye mchezo wa marudiano nyumbani yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 13, Sotirios Papagiannopoulos aliyejifunga dakika ya 24 na Mesut Ozil dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Colorado's Deion Sanders weighs in on wagering as gambling scandal ripples
through college football
-
DENVER (AP) — Nobody has lived on the edge of the risk-reward nature of
sports more than Deion Sanders over the years.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment