• HABARI MPYA

    Thursday, February 22, 2018

    WAZIRI MWAKYEMBE ALIVYOMPOKEA RAIS WA FIFA JANA DAR

    Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison George Mwakyembe (kulia) akizungumza na Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Mtaliano Giovanni Vincenzo 'Gianni' Infantino jana ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam baada ya kuwasili kwa semina ya siku tatu ya FIFA itakayoshirikisha nchi 21, wakiwemo wenyeji, Tanzania 
    Rais wa FIFA, Gianni Infantino akimueleza jambo Waziri Dk. Harrison Mwakyembe jana
    Na hapa ni wakati Dk. Harrison Mwakyembe anampokea Gianni Infantino alipoteremnka kwenuye ndege  
    Kushoto ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAZIRI MWAKYEMBE ALIVYOMPOKEA RAIS WA FIFA JANA DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top