Mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Gareth Bale baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 44 na 61 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Deportivo Alaves leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Gareth Bale dakika ya 46 na Karim Benzema dakika ya 89 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is grass court video proof Nick Kyrgios will take on Bernard Tomic in $2million showdown?
-
Nick Kyrgios has been spotted training on a grass tennis court in the wake
of rival Bernard Tomic's challenge to take part in a winner-takes-all
showdown w...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni