Mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Gareth Bale baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 44 na 61 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Deportivo Alaves leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Gareth Bale dakika ya 46 na Karim Benzema dakika ya 89 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micron, onsemi, Seagate, Western Digital, and Vishay Intertechnology Shares
Are Falling, What You Need To Know
-
A number of stocks fell in the morning session after the U.S. government
announced new tariffs of 10% to 12.5% on 60 trading partners over concerns
related...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment