Mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Gareth Bale baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 44 na 61 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Deportivo Alaves leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Gareth Bale dakika ya 46 na Karim Benzema dakika ya 89 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment