Mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Gareth Bale baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 44 na 61 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Deportivo Alaves leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Gareth Bale dakika ya 46 na Karim Benzema dakika ya 89 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Referees chief Howard Webb will hold peace talks with Nottingham Forest
this week after furious statement blasting decisions and Stuart Attwell...
with VAR audio set to be played at the meeting
-
MATT HUGHES: Webb will speak to one of, Evangelos Marinakis or Sokratis
Kominakis, while depending on the team's training schedule Nuno Espirito
Santo may ...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment