Wapenzi wa klabu ya Simba wakiwa wamembeba mwenzao wa kike aliyepoteza fahamu jana wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0
Kama anavyoonekana dada huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa taabani
Hapa wanambeba wanampeleka kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa
Kwa umoja wa hali ya juu, wapenzi wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wenye raha jana kutokana na ushindi mnono wa 5-0
Traditional rulers, PGs, security agencies must work together to ensure
peace in communities –Eze Iweka, Chairman, Anambra State Traditional Rulers
Council
-
From Aloysius Attah, Onitsha His Royal Majesty, Igwe Chidubem Iweka, is the
chairman, Anambra State Traditional Rulers Council (ASTRC), and the
tradition...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment