Wapenzi wa klabu ya Simba wakiwa wamembeba mwenzao wa kike aliyepoteza fahamu jana wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0
Kama anavyoonekana dada huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa taabani
Hapa wanambeba wanampeleka kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa
Kwa umoja wa hali ya juu, wapenzi wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wenye raha jana kutokana na ushindi mnono wa 5-0
Aussie swimming champion Ariarne Titmus announces exciting new career after
quitting the pool for love
-
Ariarne Titmus retired from swimming late last year - and her EXCITING next
move has now been revealed
26 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment