Wapenzi wa klabu ya Simba wakiwa wamembeba mwenzao wa kike aliyepoteza fahamu jana wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0
Kama anavyoonekana dada huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa taabani
Hapa wanambeba wanampeleka kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa
Kwa umoja wa hali ya juu, wapenzi wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wenye raha jana kutokana na ushindi mnono wa 5-0
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
12 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment