Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo Borussia Dortmund kutoka Chelsea, akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 65 na 90 na ushei wenyeji wakitoka nyuma kwa mabao 2-1 na kushinda 3-2 dhidi ya Atalanta kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao lingine la Dortmund lilifungwa na Andre Schurrle dakika ya 30, wakati ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic yote dakika za 51 na 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea caretaker Calum McFarlane bristles at suggestion he is
underqualified without a Pro Licence - and reveals he has not spoken to
Liam Rosenior about which players let him down in the Brighton debacle
-
OLIVER HOLT: There is a belief among some of the mind gurus and statistics
experts at Chelsea that there is little correlation between the identity of
a cl...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment