Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo Borussia Dortmund kutoka Chelsea, akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 65 na 90 na ushei wenyeji wakitoka nyuma kwa mabao 2-1 na kushinda 3-2 dhidi ya Atalanta kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao lingine la Dortmund lilifungwa na Andre Schurrle dakika ya 30, wakati ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic yote dakika za 51 na 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Japan fight back twice to earn 2-2 draw with Netherlands
-
Japan produced a spirited comeback to hold Netherlands to a thrilling 2-2
draw in their opening Group F match at the 2026 FIFA World Cup in Dallas.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment