Mark Kitching wa Rochdale akiruka juu kuondosha mpira kwa kichwa kwenye boksi la penalti la timu yake hiyo ya Daraja la Kwanza katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA England uliomalizika kwa sare ya 2-2 leo Uwanja wa Crown Oil Arena mjini Rochdale, Greater Manchester. Mabao ya Rochdale yalifungwa na Ian Henderson dakika ya 49 na Steve Davies dakika ya 90 ma ushei, wakati ya Spurs yalifungwa na Lucas Moura dakika ya 59 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 88. Timu hizo sasa zitarudiana Uwanja wa Wembley kutafuta nafasi ya kwenda Robo Fainali, ambako watakutana na mshindi kati ya Sheffield Wednesday au Swansea mwezi ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane and Ian Wright clash over Bruno Fernandes in heated exchange on
the Man United captain after Arsenal legend called him a 'winner'... as
co-pundit AGAIN criticises the Portuguese star
-
Fernandes, 29, has been one of the bright sparks at Old Trafford in recent
years, adding 143 goal contributions in 229 games since his 2020 move from
Sport...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment