Mshambuliaji Romelu Lukaku (katikati) akiwa amewarukia wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao moja dakika ya 39 na kumsetia Jesse Lingard aliyefunga bao la pili dakika ya 75 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Chelsea iliyotangulia kwa bao la Willian dakika ya 32 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea: Todd Boehly consortium takeover deal gets UK government approval
-
The UK government approves the £4.25bn takeover of Chelsea by a consortium
led by LA Dodgers co-owner Todd Boehly.
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni