Mshambuliaji Romelu Lukaku (katikati) akiwa amewarukia wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao moja dakika ya 39 na kumsetia Jesse Lingard aliyefunga bao la pili dakika ya 75 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Chelsea iliyotangulia kwa bao la Willian dakika ya 32 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Biden drops lawsuit seeking to block release of recordings of his
interviews with a ghostwriter
-
WASHINGTON (AP) — Joe Biden on Friday dropped a lawsuit in which he sought
block the release of audio recordings and transcripts of his interviews
with a m...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment