Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia na mchezaji mwenzake wa muda mrefu, Andres Iniesta baada ya ushirikiano wao kuipatia timu bao la kusawazisha dakika ya 75 katika sare ya 1-1 na Chelsea kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea ilitangulia kwa bao la kiungo wake Mbrazil, Willian dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri kiungo Mbelgiji, Eden Hazard kabla ya kuisawazishia Barca PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Premier League title hopes have gone up in smoke just as Jurgen
Klopp and Mohamed Salah started to run on empty, writes DOMINIC KING
-
DOMINIC KING: After that 1-0 defeat to Palace on April 14, Liverpool's
first at home in the Premier League for almost two years, Jurgen Klopp's
(left) deme...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment