Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia na mchezaji mwenzake wa muda mrefu, Andres Iniesta baada ya ushirikiano wao kuipatia timu bao la kusawazisha dakika ya 75 katika sare ya 1-1 na Chelsea kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea ilitangulia kwa bao la kiungo wake Mbrazil, Willian dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri kiungo Mbelgiji, Eden Hazard kabla ya kuisawazishia Barca PICHA ZAIDI GONGA HAPA
De Jong message to Barcelona fans after Man United links
-
FC Barcelona midfielder Frankie De Jong has sent a message to the club's
supporters as links to Manchester United gather pace. New Man United
manager Erik ...
Dakika 40 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni