Isaac Drogba (kushoto), mwenye umri wa miaka 17, mtoto wa gwiji wa soka, Didier Drogba akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, Guingamp ya Ligue 1 jana moja ya timu alizochezea baba yake mwanzoni mwa maisha yake ya soka nchini Ufaransa. Drogba mkubwa alijiunga na Guingamp akiwa ana umri wa miaka 16 tu kwa ada ya uhamisho ya Pauni 80,000 kutoka Le Mans PICHA ZAIDI GONGA HAPA
KC Concepcion, who was mocked by vile trolls over his speech impediment, is
selected in NFL Draft first round
-
A week ahead of the Draft he went viral with a letter to NFL GMs in which
he opened up on the stutter and told teams: 'I'm the best receiver in this
draft....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment