Nyota Mbrazil, Neymar akiugulia maumivu Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris dakika ya 80 jana kabla ya kutolewa kwa machela timu yake, Paris Saint-Germain ikishinda 3-0 dhidi ya Marseille katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa mabao ya Kylian Mbappe dakika ya 10, Rolando aliyejifunga dakika ya 27 na Edinson Cavani dakika ya 55. Neymar sasa yuko shakani kucheza mechi ya marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid mjini Paris baada ya kufungwa 3-1 Februari 14 mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gasperini: “I know how to make Roma stronger. If I have technical
responsibilities, it is right that I be satisfied.”
-
Gian Piero Gasperini, in a press conference, commented on the 2-0 victory
against Bologna thanks to goals from Malen and El Ayanoui. The Grugliasco
coach c...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment