Nyota Mbrazil, Neymar akiugulia maumivu Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris dakika ya 80 jana kabla ya kutolewa kwa machela timu yake, Paris Saint-Germain ikishinda 3-0 dhidi ya Marseille katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa mabao ya Kylian Mbappe dakika ya 10, Rolando aliyejifunga dakika ya 27 na Edinson Cavani dakika ya 55. Neymar sasa yuko shakani kucheza mechi ya marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid mjini Paris baada ya kufungwa 3-1 Februari 14 mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea bounce back from cup exits to beat Villa
-
Chelsea return to the top of the Women's Super League by beating Aston
Villa - as they bounce back from the disappointment of being knocked out of
the FA C...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment