Sergio Ramos (katikati) akifurahia na wenzake na jezi yenye namba 550 baada ya kucheza mechi ya 550 Real Madrid usiku wa jana ikishinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque katika mchezo wa La Liga. Ramos alifunga bao la tatu dakika ya 90 kwa penalti, baada ya Lucas Vazquez kufunga la kwanza dakika ya 11 na Casemiro la pili dakika ya 29, baada ya Bustinza kuanza kuwafungia wenyeji dakika ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Five English teams in the Champions League would be an insult to Busby,
Clough and Paisley, writes IAN LADYMAN. It's the closest the big clubs
could get to a European Super League
-
There are only 20 teams in the Premier League. So to consider offering a
quarter of those clubs places in the Champions League feels a little like
an insul...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment