Sergio Ramos (katikati) akifurahia na wenzake na jezi yenye namba 550 baada ya kucheza mechi ya 550 Real Madrid usiku wa jana ikishinda 3-1 dhidi ya wenyeji, Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque katika mchezo wa La Liga. Ramos alifunga bao la tatu dakika ya 90 kwa penalti, baada ya Lucas Vazquez kufunga la kwanza dakika ya 11 na Casemiro la pili dakika ya 29, baada ya Bustinza kuanza kuwafungia wenyeji dakika ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sudden drone crash halts LIV Golf event in Hong Kong as distracted Sergio
Garcia tries to line up putt
-
LIV Golf's use of drones has occasionally annoyed players and disrupted
live action. The worst example of this came on Thursday in the third event
of the s...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment