Sadio Mane akiruka juu kushangilia kwa mbwembwe baada ya kuifungia Liverpool bao la nne dakika ya 77 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao yamefungwa na Emre Can dakika ya 29, Mohamed Salah dakika ya 51 na Roberto Firmino dakika ya 57, wakati la Wagonga Nyundo limefungwa na Michael Antonio dakika ya 59, Liverpool ikipanda hadi nafasi ya pili kwa kufikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 28, ikiishusha Manchester United yenye pointi 56 za mechi 27, wote wakiwa nyuma ya Manchester City inayoongoza kwa pointi zake 72 za mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It beggars belief that Ben Stokes has made his bosses look so foolish by
breaking their new rules - it's hard to see how he retains the authority to
lead this England team, writes LAWRENCE BOOTH
-
There are times when observers of English cricket need only a brick wall
against which to bang their heads. Now is such a moment.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment