Sadio Mane akiruka juu kushangilia kwa mbwembwe baada ya kuifungia Liverpool bao la nne dakika ya 77 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao yamefungwa na Emre Can dakika ya 29, Mohamed Salah dakika ya 51 na Roberto Firmino dakika ya 57, wakati la Wagonga Nyundo limefungwa na Michael Antonio dakika ya 59, Liverpool ikipanda hadi nafasi ya pili kwa kufikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 28, ikiishusha Manchester United yenye pointi 56 za mechi 27, wote wakiwa nyuma ya Manchester City inayoongoza kwa pointi zake 72 za mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Van Dijk sends Champions League warning to Real Madrid
-
Liverpool defender Virgil van Dijk has sent a warning to Real Madrid ahead
of the Champions League final on Saturday. Liverpool are looking for
revenge aft...
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni