Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment