Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: 5-Star Billy Richmond Commits to Arkansas After John Calipari's
Kentucky Exit
-
After leaving Kentucky to become the new head men's basketball coach at
Arkansas, John Calipari has reportedly succeeded in getting a major recruit
to flip…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment