Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Responds After Sasha Banks, Naomi Leave During Monday's WWE Raw
-
During this week's episode of Monday Night Raw, the panned main event was
changed early in the show. Ori
Dakika 29 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni