• HABARI MPYA

    Thursday, February 22, 2018

    SERGI ROBERTO ASAINI MKATABA MPYA BARCELONA HADI 2022

    Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERGI ROBERTO ASAINI MKATABA MPYA BARCELONA HADI 2022 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top