Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akipiga penalti kuifungia Atletico Madrid dakika ya 51 kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramón Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine alifunga dakika za 42 na 81, wakati Diego Costa alifunga dakika ya 29 na Koke dakika ya 65, huku mabao ya wenyeji yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 85 na Nolito dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment