Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akipiga penalti kuifungia Atletico Madrid dakika ya 51 kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramón Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine alifunga dakika za 42 na 81, wakati Diego Costa alifunga dakika ya 29 na Koke dakika ya 65, huku mabao ya wenyeji yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 85 na Nolito dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sudden drone crash halts LIV Golf event in Hong Kong as distracted Sergio
Garcia tries to line up putt
-
LIV Golf's use of drones has occasionally annoyed players and disrupted
live action. The worst example of this came on Thursday in the third event
of the s...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment