• HABARI MPYA

    Monday, February 26, 2018

    GRIEZMANN APIGA HAT TRICK ATLETICO MADRID YAICHAPA SEVILLA 5-2

    Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akipiga penalti kuifungia Atletico Madrid dakika ya 51 kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramón Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine alifunga dakika za 42 na 81, wakati Diego Costa alifunga dakika ya 29 na Koke dakika ya 65, huku mabao ya wenyeji yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 85 na Nolito dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GRIEZMANN APIGA HAT TRICK ATLETICO MADRID YAICHAPA SEVILLA 5-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top