Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akipiga penalti kuifungia Atletico Madrid dakika ya 51 kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramón Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine alifunga dakika za 42 na 81, wakati Diego Costa alifunga dakika ya 29 na Koke dakika ya 65, huku mabao ya wenyeji yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 85 na Nolito dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russian ballistic strike kills 10 after Ukraine's Zelenskyy hosts US
company making Patriots
-
KYIV, Ukraine (AP) — A Russian attack Friday on a site near Kyiv that was
hosting a defense industry event killed at least 10 people and wounded
nearly 100...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment