Kipa wa Manchester United, David de Gea (kulia) aliyekuwa shujaa jana katika mechi dhidi ya Sevilla nchini Hispania akiwasili mjini Manchester leo waliporejea baada ya sare ya 0-0 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya mlinda mlango huyo wa kimataifa wa Hispania akiokoa michomo na kuinusuru timu yake kufungwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sudden drone crash halts LIV Golf event in Hong Kong as distracted Sergio
Garcia tries to line up putt
-
LIV Golf's use of drones has occasionally annoyed players and disrupted
live action. The worst example of this came on Thursday in the third event
of the s...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment