Kipa wa Manchester United, David de Gea (kulia) aliyekuwa shujaa jana katika mechi dhidi ya Sevilla nchini Hispania akiwasili mjini Manchester leo waliporejea baada ya sare ya 0-0 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya mlinda mlango huyo wa kimataifa wa Hispania akiokoa michomo na kuinusuru timu yake kufungwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emiliano Martinez avoids getting sent off DURING penalty shootout for
winding up Lille fans thanks to little-known rule… before Aston Villa
keeper saves decisive spot-kick
-
The Argentina goalkeeper, who made headlines with his antics in the World
Cup final shootout against France, was warned by Slovakian referee Ivan
Kruzliak ...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment