Kipa wa Manchester United, David de Gea (kulia) aliyekuwa shujaa jana katika mechi dhidi ya Sevilla nchini Hispania akiwasili mjini Manchester leo waliporejea baada ya sare ya 0-0 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya mlinda mlango huyo wa kimataifa wa Hispania akiokoa michomo na kuinusuru timu yake kufungwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: Kylian Mbappe set to stay at PSG this summer
-
Kylian Mbappe will sign a new three-year contract with Paris Saint-Germain.
The France forward has agreed to a three-year contract extension that is
close ...
Dakika 2 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni