Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jemadari Said (kushoto) akimkabidhi mshambuliaji na Nahodha wa Simba, John Bocco tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Januari mwaka huu
John Bocco ambaye ni majeruhi kwa sasa, alikabidhiwa tuzo hiyo pamoja na king'amuzi cha Azam TV kabla ya mchezo wa Ligi Kuu baina ya timu yake, Simba SC na Mbao FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba imeshinda 5-0
U20 Women's World Cup: African Origin Travels and Sports Tourism appointed Ghana's official travel and hospitality agency
-
African Origin Travels and Sports Tourism have been appointed Ghana's
official Travel and Hospitality Agency for the 2022 FIFA U20 Women's World
Cup to be ...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni