Fred anayetakiwa na Manchester City akishangilia baada ya kuifungia Shakhtar Donetsk bao la ushindi dakika ya 71 kwa mpira wa adhabu, wakitoka nyuma na kuilaza Roma 2-1 katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Oblasny SportKomplex Metalist mjini Kharkiv, Uturuki. Roma walitangulia kwa bao la Cengiz Under dakika ya 41 kabla ya Facundo Ferreyra kusawazisha dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea refuse to NAME Kai Havertz on Twitter after their former star
scored twice for Arsenal to tighten the title race and dent their European
aspirations
-
Chelsea's social media team couldn't bring themselves to name Kai Havertz
after he scored twice against them.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment