Kevin Gameiro akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao pekee la ushindi dakika ya saba tu ikiwalaza Copenhagen 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Denmark PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woj: Warriors' Kenny Atkinson to Receive 2nd Hornets Head Coach Interview
-
The Charlotte Hornets plan to interview Golden State Warriors assistant
Kenny Atkinson a second time for their open head-coaching position, per
ESPN's A
Dakika 5 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni