Kevin Gameiro akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao pekee la ushindi dakika ya saba tu ikiwalaza Copenhagen 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Denmark PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Garcia Calls Out Gervonta Davis for Fight After Devin Haney Upset:
'Come See Me'
-
Ryan Garcia is setting his sights on his next challenge days after his
shocking upset of Devin Haney. He called out Gervonta "Tank" Davis on
Tuesday and said…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment