Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za tano, 44 na 76 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Lionel Messi mawili dakika za 30 na 36 na Philippe Coutinho dakika ya 66, wakati la Girona limefungwa na Cristian Portu dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Updated 2024 NHL 1st-Round Mock Draft After End of Regular Season
-
The end of the 2023-24 NHL regular season brings clarity about the order
for the 2024 NHL Draft, scheduled for June 28-29 in Las Vegas. Based on the…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment