Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za tano, 44 na 76 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Lionel Messi mawili dakika za 30 na 36 na Philippe Coutinho dakika ya 66, wakati la Girona limefungwa na Cristian Portu dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie swimming champion Ariarne Titmus announces exciting new career after
quitting the pool for love
-
Ariarne Titmus retired from swimming late last year - and her EXCITING next
move has now been revealed
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment