Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za tano, 44 na 76 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Lionel Messi mawili dakika za 30 na 36 na Philippe Coutinho dakika ya 66, wakati la Girona limefungwa na Cristian Portu dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
KC Concepcion, who was mocked by vile trolls over his speech impediment, is
selected in NFL Draft first round
-
A week ahead of the Draft he went viral with a letter to NFL GMs in which
he opened up on the stutter and told teams: 'I'm the best receiver in this
draft....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment