Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za tano, 44 na 76 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Lionel Messi mawili dakika za 30 na 36 na Philippe Coutinho dakika ya 66, wakati la Girona limefungwa na Cristian Portu dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micron, onsemi, Seagate, Western Digital, and Vishay Intertechnology Shares
Are Falling, What You Need To Know
-
A number of stocks fell in the morning session after the U.S. government
announced new tariffs of 10% to 12.5% on 60 trading partners over concerns
related...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment