Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia kibabe baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 28 na 60 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Leganes kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Butarque, Leganes leo. Bao la tatu lilifungwa na Paulinho dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Judiciary, lawyers must safeguard Nigeria’s future – Jonathan
-
Former President Goodluck Jonathan has challenged the Bench and Bar to
safeguard Nigeria’s future through upholding justice, strengthening
institutions, ...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment