Mshambuliaji Romelu Lukaku akirukiwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia Manchester United bao la nne dakika ya 70 ikiwalaza 4-1 Newcastle United leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Anthony Martial dakika ya 37, Chris Smalling dakika ya 45 na Paul Pogba dakika ya 54, wakati bao pekee la Newcastle limefungwa na Dwight Gayle dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Errands instead of espresso martinis? Why low-key hangs are redefining
friendship
-
All the hangouts currently en vogue, from admin nights to chore hangs to
body doubling, fit this ethos of trying to cultivate mundane intimacy in
hard times.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment