Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa hawaamini macho yao baada ya kufungwa mabao 3-1 na Tottenham Hotspur katikaa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley. Mabao ya Spurs yamefungwa na Dele Alli mawili dakika za 27 na 55 na Christian Eriksen dakika ya 65 wakati la Real Madrid limefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sky Sports presenter reveals incorrect cancer diagnosis
-
Sky Sports News presenter Jo Wilson has revealed she was wrongly diagnosed
with cancer – more than three years after first being diagnosed with the
disease.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment