Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Napoli usiku wa Jumatano Uwanja wa San Paolo mjini Napoli, Italia katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na kuvunja rekodi ya kufunga mabao mengi kihistoria katika timu hiyo iliyowekwa na Eric Brook aliyefunga mabao 177 miaka ya 1930. Mabao mengine ya City yamefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 34, John Stones dakika ya 48 na Raheem Sterling dakika ya 90 na ushei, wakati ya Napoli yamefungwa na Lorenzo Insigne dakika ya 21 na Jorginho kwa penalti dakika ya 62 kufuatia Leroy Sane kumchezea rafy Raul Albiol kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kim Kardashian jokes she would NOT date Tom Brady because he reminds her of
stepdad Caitlyn Jenner at Netflix Roast
-
After taking to the stage in Los Angeles to a chorus of boos, the SKIMS
founder shutdown speculation she and the former quarterback had been an
item as she...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment