Daley Blind akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia) na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kufunga kwa bao la pili kwa penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza Benfica walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti la Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Five English teams in the Champions League would be an insult to Busby,
Clough and Paisley, writes IAN LADYMAN. It's the closest the big clubs
could get to a European Super League
-
There are only 20 teams in the Premier League. So to consider offering a
quarter of those clubs places in the Champions League feels a little like
an insul...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment