• HABARI MPYA

    Wednesday, November 01, 2017

    MAN UNITED WAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI YA MABINGWA

    Daley Blind akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia) na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kufunga kwa bao la pili kwa penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza Benfica walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti la Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top