Daley Blind akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia) na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kufunga kwa bao la pili kwa penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza Benfica walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti la Nemanja Matic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers and Celtic return fire after being cited for Scottish Cup shame
game at Ibrox
-
Celtic and Rangers were last night locked in a war of words after the SFA
finally published the independent review into last season's Scottish Cup
shame ga...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment