Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why exasperated - and maybe broken - Ruben Amorim may have already said too
much to the players he wants to sign at Man United, writes RIATH AL-SAMARRAI
-
Honest is a fine thing. For Ruben Amorim, it might be all he has. But is it
the best policy? Does it help? Has he heard of Gerald Ratner?
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment