Kiungo wa Bayern Munich, Arturo Vidal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Nahodha wa Celtic, Scott Brown katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya jana usiku Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland. Bayern Munich ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Kingsley Coman dakika ya 22 and Javi Martinez dakika ya 77, wakati la Celtic lilifungwa na Callum McGregor dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment