Beki tegemeo wa Real Madrid, Sergio Ramos akitoka nje kumpisha Nacho baada ya kushindwa kuendelea na mchezo dakika ya 46 kutokana na kuvunjika pua kufuatia kugongana na mchezaji wa Atletico Madrid, Lucas Hernandez katika mchezo wa La Liga wa mahasimu wa Jiji la Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano uliomalizika kwa sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Judiciary, lawyers must safeguard Nigeria’s future – Jonathan
-
Former President Goodluck Jonathan has challenged the Bench and Bar to
safeguard Nigeria’s future through upholding justice, strengthening
institutions, ...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment