Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara (kushoto) ameposti picha hii kwenye ukurasa wake instagram kiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Muslah 'Musley' Al-Ruwaih (kulia) kwenye Rasi ya Pwani ya Jijii la Muscat, Oman
Hajji Manara pia ameposti picha hii akiwa na familia ya mfadhili wa zamani wa Simba, Shekh Saleh Al-Rawaih, wanawe, Munir, Muthir, Musley, Munir na Murshid
Hapa ni wakati Hajji aliupokuwa kwenye ndege anakwenda Oman
Hapa ni wakati akiwa safarini amevaa nyeusi tupu kasoro begi
Steve Erceg is the Australian Steve Carrell lookalike who was called up to
fight for a UFC title shot while devouring KFC... meet 'Astro Boy', the
most unlikely challenger in recent history ahead of fight in Rio de Janeiro
-
The response from plenty of MMA fans when they heard it would be Steve
Erceg taking on Alexandre Pantoja at UFC 301, was: 'Who?' The Australian
has bolted ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment