Kiungo wa Roma, Kevin Strootman akimuacha chini kiungo wa Chelsea, Cesc Fabregas usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Roma katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Roma ilishinda 3-0, mabao ya Stephan El Shaarawy mawili dakika ya kwanza na 36 na Diego Perotti dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Everton's new ground named Hill Dickinson Stadium
-
Liverpool-based legal firm Hill Dickinson will be the naming rights partner
for Everton's new stadium.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment