Beki wa kushoto, Layvin Kurzawa akishangilia baada ya kuifungia PSG mabao matatu peke yake dakika za 52, 72 na 78 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Marco Verratti dakika ya 30 na Neymar Junior dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Record-Setting World Cup Final Peaks At 51.7 Million Viewers In U.S.
-
Nearly 39 million viewers watched Fox’s English-language presentation of
the World Cup final on Sunday, making it the most-watched soccer broadcast
in U.S....
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment