Kungo Ramadhani Singano 'Messi' akiruka kupiga mpira kwa kichwa katika mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja mdogo Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kujianda na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Njombe Mji jumamosi
Beki Aggrey Morris akikimbia kwenye mazoezi hayo jana
Kiungo Frank Domayo akifurahia wakati wa mazoezi hayo jana
Makipa Mwadini Ali na Benedit Haule (mbele) wakiwa mazoezini
Kocha Mromania Aristica Cioaba akiwaonyesha kitu kwa ishara wachezaji
NFL Rumors: Terrell Owens' Son Terique, 49ers Agree to UDFA Contract After
2024 Draft
-
The San Francisco 49ers added Missouri State wide receiver Terique Owens,
the son of Hall of Fame receiver Terrell Owens, as an undrafted free agent
on…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment