Mohamed Salah akiwa juu kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Maribor usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 64 Daniel Sturridge dakika ya 90 wakati kipa wa Maribor, Jasmin Handanovic alicheza penalti ya James Milner dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Coventry City ready to push hard to re-sign star
-
Coventry City Closing In on Carl Rushworth as Brighton Talks Move Towards
Final DetailsCoventry City look firmly in front in the race to sign Carl
Rushwort...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment