Mohamed Salah akiwa juu kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Maribor usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 64 Daniel Sturridge dakika ya 90 wakati kipa wa Maribor, Jasmin Handanovic alicheza penalti ya James Milner dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GFA announces availability of GOIL fuel cards for Women’s Premier League
clubs
-
The Ghana Football Association (GFA) has announced that the GOIL fuel cards
for the 20 clubs in the Malta Guinness Women’s Premier League are now
availab...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment