Mohamed Salah akiwa juu kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Maribor usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Emre Can dakika ya 64 Daniel Sturridge dakika ya 90 wakati kipa wa Maribor, Jasmin Handanovic alicheza penalti ya James Milner dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather gifts $30k to homeless men before Clippers-Mavs Game 5 in
L.A.
-
The undefeated, retired boxing champion was headed to Crpyto.com for game 5
on Wednesday when he bumped into several men on the street in downtown
L.A., ac...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment