Sebastian Rudy (kushoto) akishangilia na Joshua Kimmich (kulia) baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast usiku wa jana. Kimmich naye alifunga bao la tatu dakika ya 86, wakati la pili lilifungwa na Sandro Wagner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment