Sebastian Rudy (kushoto) akishangilia na Joshua Kimmich (kulia) baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast usiku wa jana. Kimmich naye alifunga bao la tatu dakika ya 86, wakati la pili lilifungwa na Sandro Wagner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
INSIDE SPORT: Sunderland fans blast 'scandalous' £1,300 Wembley tickets...
plus, latest on Gary Lineker's BBC future and how Chelsea made Premier
League history
-
An FA-licensed ticket seller has been attempting to charge Sunderland
supporters more than twice the amount offered to Sheffield United fans for
the Champi...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment