Sebastian Rudy (kushoto) akishangilia na Joshua Kimmich (kulia) baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast usiku wa jana. Kimmich naye alifunga bao la tatu dakika ya 86, wakati la pili lilifungwa na Sandro Wagner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment