Sebastian Rudy (kushoto) akishangilia na Joshua Kimmich (kulia) baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza dakika ya pili katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Ireland ya Kaskazini Uwanja wa Windsor Park mjini Belfast usiku wa jana. Kimmich naye alifunga bao la tatu dakika ya 86, wakati la pili lilifungwa na Sandro Wagner PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump trade probe targets Singapore, 15 other US partners; Electricity
prices may climb even with Singapore energy stockpiles: Singapore live news
-
Singapore to engage US over trade investigation, citing US$27 billion
deficit data. Singapore warns electricity prices may rise despite strong
energy secur...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment