Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England bao pekee la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 1-0 Slovenia katika mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Kane aliwaongoza Simba Watatu kwa mara ya kwanza kama Nahodha jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guardiola credits 'dry pitch' for Man City win
-
Manchester City manager Pep Guardiola believes the City Ground's 'dry
pitch' helped his side in their 2-0 win against Nottingham Forest in the
Premier League.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment