// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KANE AING'ARISHA ENGLAND KUFUZU KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KANE AING'ARISHA ENGLAND KUFUZU KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, October 06, 2017

    KANE AING'ARISHA ENGLAND KUFUZU KOMBE LA DUNIA

    Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England bao pekee la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 1-0 Slovenia katika mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Kane aliwaongoza Simba Watatu kwa mara ya kwanza kama Nahodha jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KANE AING'ARISHA ENGLAND KUFUZU KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top