Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England bao pekee la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 1-0 Slovenia katika mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Kane aliwaongoza Simba Watatu kwa mara ya kwanza kama Nahodha jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAY TEAMSHEET: Can YOU name the Tottenham team that beat Man United in
2012? Or pick YOUR team and guess their starting XI
-
Every day we'll challenge you to name a different starting XI from the
Premier League era. We'll give you a team's rough formation, and the number
of lette...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment