Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chile dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Ecuador katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini uliofanyika Uwanja wa Monumental David Arellano mjini Santiago, Chile. Bao la kwanza la Chile lilifungwa na Eduardo Vargas dakika ya 22, wakati la wageni lilifungwa na Romario Andres Ibarra dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal of years gone by would have cracked, but Mikel Arteta's side served
notice to Man City that they will fight them all the way and won't lose
their nerve after 3-2 Spurs win, writes OLIVER HOLT
-
OLIVER HOLT AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Arsenal fans turned and
taunted their Spurs counterparts in the section beside them. Their joy was
unconfined.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment