Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chile dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Ecuador katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini uliofanyika Uwanja wa Monumental David Arellano mjini Santiago, Chile. Bao la kwanza la Chile lilifungwa na Eduardo Vargas dakika ya 22, wakati la wageni lilifungwa na Romario Andres Ibarra dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment