Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Chile dakika ya 85 ikiilaza 2-1 Ecuador katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini uliofanyika Uwanja wa Monumental David Arellano mjini Santiago, Chile. Bao la kwanza la Chile lilifungwa na Eduardo Vargas dakika ya 22, wakati la wageni lilifungwa na Romario Andres Ibarra dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Livvy Dunne joins 'Baywatch' reboot as social media star sets sights on
Hollywood after leaving gymnastics
-
Dunne confirmed the news herself after responding to a report about her
role, posting a message to her followers on X which read: 'Time to get to
work!!!'
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment